Yohana 6:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa hiyo umati walipoona kwamba Yesu hakuwa hapo wala wanafunzi wake, wakapanda mashua zao ndogo wakaja mpaka Kapernaumu kumtafuta+ Yesu. Yohana 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo, hao walimkaribia Filipo+ ambaye alikuwa wa kutoka Bethsaida ya Galilaya, nao wakaanza kumwomba, wakisema: “Bwana, tunataka kumwona Yesu.”+
24 Kwa hiyo umati walipoona kwamba Yesu hakuwa hapo wala wanafunzi wake, wakapanda mashua zao ndogo wakaja mpaka Kapernaumu kumtafuta+ Yesu.
21 Kwa hiyo, hao walimkaribia Filipo+ ambaye alikuwa wa kutoka Bethsaida ya Galilaya, nao wakaanza kumwomba, wakisema: “Bwana, tunataka kumwona Yesu.”+