Luka 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi, alikuwa akitafuta kuona+ Yesu huyu ni nani, lakini hangeweza kwa sababu ya umati, kwa sababu alikuwa mfupi. Luka 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Herode alipomwona Yesu alishangilia sana, kwa maana kwa muda mrefu alikuwa akitaka kumwona+ kwa sababu alikuwa amesikia+ juu yake, na alikuwa akitumaini kuona ishara fulani kutoka kwake.
3 Basi, alikuwa akitafuta kuona+ Yesu huyu ni nani, lakini hangeweza kwa sababu ya umati, kwa sababu alikuwa mfupi.
8 Herode alipomwona Yesu alishangilia sana, kwa maana kwa muda mrefu alikuwa akitaka kumwona+ kwa sababu alikuwa amesikia+ juu yake, na alikuwa akitumaini kuona ishara fulani kutoka kwake.