Mathayo 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wakati huo Herode, mtawala wa wilaya, akasikia habari juu ya Yesu+ Marko 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi Mfalme Herode akasikia, kwa maana jina la Yesu lilikuwa limejulikana na watu wote, na watu walikuwa wakisema: “Yohana mbatizaji amefufuliwa kutoka kwa wafu, na kwa sababu hiyo anatenda kazi zenye nguvu.”+
14 Basi Mfalme Herode akasikia, kwa maana jina la Yesu lilikuwa limejulikana na watu wote, na watu walikuwa wakisema: “Yohana mbatizaji amefufuliwa kutoka kwa wafu, na kwa sababu hiyo anatenda kazi zenye nguvu.”+