Mathayo 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mafarisayo walipoona hilo wakaanza kuwaambia wanafunzi wake: “Kwa nini mwalimu wenu anakula pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”+ Luka 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ndipo Mafarisayo na waandishi wao wakaanza kuwanung’unikia wanafunzi wake, wakisema: “Kwa nini mnakula na kunywa pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”+ Luka 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa sababu hiyo Mafarisayo na pia waandishi wakanung’unika, wakisema: “Mtu huyu hukaribisha watenda-dhambi na hula pamoja nao.”+
11 Mafarisayo walipoona hilo wakaanza kuwaambia wanafunzi wake: “Kwa nini mwalimu wenu anakula pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”+
30 Ndipo Mafarisayo na waandishi wao wakaanza kuwanung’unikia wanafunzi wake, wakisema: “Kwa nini mnakula na kunywa pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”+
2 Kwa sababu hiyo Mafarisayo na pia waandishi wakanung’unika, wakisema: “Mtu huyu hukaribisha watenda-dhambi na hula pamoja nao.”+