-
Luka 15:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Mafarisayo na waandishi wakaendelea kunung’unika wakisema: “Mtu huyu huwakaribisha watenda dhambi na kula pamoja nao.”
-
-
Luka 15:2Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
2 Kwa sababu hiyo Mafarisayo na pia waandishi wakafuliza kunung’unika, wakisema: “Mtu huyu hukaribisha watenda-dhambi na hula pamoja nao.”
-