Kutoka 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Usishuhudie kwa uwongo ukiwa shahidi dhidi ya mwenzako.+ Luka 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Pia, wale walio katika utumishi wa kijeshi wakamuuliza: “Na sisi pia tufanye nini?” Naye akawaambia: “Msimsumbue mtu yeyote wala kumshtaki+ mtu yeyote kwa uwongo, bali mtosheke na posho lenu.”+
14 Pia, wale walio katika utumishi wa kijeshi wakamuuliza: “Na sisi pia tufanye nini?” Naye akawaambia: “Msimsumbue mtu yeyote wala kumshtaki+ mtu yeyote kwa uwongo, bali mtosheke na posho lenu.”+