Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Vivyo hivyo ninyi pia, mnapoona mambo yote hayo, jueni kwamba yuko karibu milangoni.+

  • Luka 17:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini alipoulizwa na Mafarisayo ufalme wa Mungu ungekuja wakati gani,+ akawajibu na kusema: “Ufalme wa Mungu hautakuja kwa wonyesho wenye kutokeza sana,

  • Matendo 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi, walipokuwa wamekusanyika, wakaanza kumuuliza: “Bwana, je, unarudishia Israeli ufalme+ wakati huu?”

  • 2 Wathesalonike 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 msitikiswe upesi kutoka kwenye kufikiri kwenu wala msisisimuliwe ama kupitia neno lililoongozwa na roho+ au kupitia ujumbe wa maneno+ au kupitia barua+ kana kwamba inatoka kwetu, ya kuwa siku+ ya Yehova ipo hapa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki