20 Lakini alipoulizwa na Mafarisayo ufalme wa Mungu ungekuja wakati gani,+ akawajibu na kusema: “Ufalme wa Mungu hautakuja kwa wonyesho wenye kutokeza sana,
2 msitikiswe upesi kutoka kwenye kufikiri kwenu wala msisisimuliwe ama kupitia neno lililoongozwa na roho+ au kupitia ujumbe wa maneno+ au kupitia barua+ kana kwamba inatoka kwetu, ya kuwa siku+ ya Yehova ipo hapa.