26 Nami nitawarudisha tena waamuzi kwa ajili yako kama hapo kwanza, na washauri kwa ajili yako kama pale mwanzoni.+ Kisha wewe utaitwa Jiji la Uadilifu, Mji Mwaminifu.+
27 “ ‘Na ufalme na utawala na ukuu wa falme zote chini ya mbingu zote wakapewa watu ambao ni watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi.+ Ufalme wao ni ufalme unaodumu mpaka wakati usio na kipimo,+ na tawala zote zitawatumikia na kuwatii wao.’+
11 Walipokuwa wakisikiliza mambo hayo akatoa mfano kwa kuongezea, kwa sababu alikuwa karibu na Yerusalemu nao walikuwa wakiwazia kwamba ufalme wa Mungu ulikuwa ukikaribia kujionyesha mara moja.+
21 Lakini sisi tulikuwa tukitumaini kwamba mtu huyu ndiye angekomboa Israeli;+ ndiyo, na mbali na mambo yote haya, hii ndiyo siku ya tatu tangu mambo hayo yalipotukia.