Mathayo 25:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo yule aliyekuwa amepokea talanta tano akaja na kuleta talanta tano zaidi, akisema, ‘Bwana, ulinipa talanta tano; ona, nilipata faida ya talanta tano zaidi.’+
20 Kwa hiyo yule aliyekuwa amepokea talanta tano akaja na kuleta talanta tano zaidi, akisema, ‘Bwana, ulinipa talanta tano; ona, nilipata faida ya talanta tano zaidi.’+