-
Mathayo 25:20Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
20 Kwa hiyo yule aliyekuwa amepokea talanta tano akaja mbele na kuleta talanta tano zaidi, akisema, ‘Bwana-mkubwa, ulinikabidhi talanta tano; ona, nilipata faida ya talanta tano zaidi.’
-