Mathayo 25:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi, yule aliyepokea talanta tano akaja na kuleta talanta tano zaidi, akisema, ‘Bwana, ulinikabidhi talanta tano, ona, nimepata talanta tano zaidi.’+ Mathayo 25:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo yule aliyekuwa amepokea talanta tano akaja na kuleta talanta tano zaidi, akisema, ‘Bwana, ulinipa talanta tano; ona, nilipata faida ya talanta tano zaidi.’+ Mathayo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:20 Yesu—Njia, kur. 262-263 Mnara wa Mlinzi,6/15/1995, uku. 17
20 Basi, yule aliyepokea talanta tano akaja na kuleta talanta tano zaidi, akisema, ‘Bwana, ulinikabidhi talanta tano, ona, nimepata talanta tano zaidi.’+
20 Kwa hiyo yule aliyekuwa amepokea talanta tano akaja na kuleta talanta tano zaidi, akisema, ‘Bwana, ulinipa talanta tano; ona, nilipata faida ya talanta tano zaidi.’+