Marko 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 na kuanza kumwambia: “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? au ni nani aliyekupa mamlaka ya kufanya mambo haya?”+ Matendo 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 nao wakawasimamisha katikati yao na kuanza kuuliza: “Mlifanya jambo hilo kwa nguvu gani au katika jina la nani?”+ Matendo 7:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini yule aliyekuwa akimtendea jirani yake isivyo haki akamsukuma mbali, akisema, ‘Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mtawala na mwamuzi juu yetu?+
28 na kuanza kumwambia: “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? au ni nani aliyekupa mamlaka ya kufanya mambo haya?”+
7 nao wakawasimamisha katikati yao na kuanza kuuliza: “Mlifanya jambo hilo kwa nguvu gani au katika jina la nani?”+
27 Lakini yule aliyekuwa akimtendea jirani yake isivyo haki akamsukuma mbali, akisema, ‘Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mtawala na mwamuzi juu yetu?+