Mathayo 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi alipoingia ndani ya hekalu, wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakamjia alipokuwa akifundisha, nao wakasema:+ “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka hiyo?”+ Marko 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 na kuanza kumwambia: “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? au ni nani aliyekupa mamlaka ya kufanya mambo haya?”+ Luka 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 nao wakasema, wakimwambia: “Tuambie unafanya mambo haya kwa mamlaka gani, au ni nani aliyekupa mamlaka hiyo.”+
23 Basi alipoingia ndani ya hekalu, wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakamjia alipokuwa akifundisha, nao wakasema:+ “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka hiyo?”+
28 na kuanza kumwambia: “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? au ni nani aliyekupa mamlaka ya kufanya mambo haya?”+
2 nao wakasema, wakimwambia: “Tuambie unafanya mambo haya kwa mamlaka gani, au ni nani aliyekupa mamlaka hiyo.”+