Kutoka 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akamwambia: “Ni nani aliyekuweka wewe rasmi kuwa mkuu na mwamuzi juu yetu?+ Je, unakusudia kuniua kama vile ulivyomuua yule Mmisri?”+ Sasa Musa akaogopa na kusema: “Hakika jambo hilo limejulikana!”+ Luka 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 nao wakasema, wakimwambia: “Tuambie unafanya mambo haya kwa mamlaka gani, au ni nani aliyekupa mamlaka hiyo.”+ Yohana 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo, Wayahudi wakajibu, wakamwambia: “Una ishara+ gani ya kutuonyesha, kwa kuwa unafanya mambo haya?” Matendo 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 nao wakawasimamisha katikati yao na kuanza kuuliza: “Mlifanya jambo hilo kwa nguvu gani au katika jina la nani?”+
14 Naye akamwambia: “Ni nani aliyekuweka wewe rasmi kuwa mkuu na mwamuzi juu yetu?+ Je, unakusudia kuniua kama vile ulivyomuua yule Mmisri?”+ Sasa Musa akaogopa na kusema: “Hakika jambo hilo limejulikana!”+
2 nao wakasema, wakimwambia: “Tuambie unafanya mambo haya kwa mamlaka gani, au ni nani aliyekupa mamlaka hiyo.”+
18 Kwa hiyo, Wayahudi wakajibu, wakamwambia: “Una ishara+ gani ya kutuonyesha, kwa kuwa unafanya mambo haya?”
7 nao wakawasimamisha katikati yao na kuanza kuuliza: “Mlifanya jambo hilo kwa nguvu gani au katika jina la nani?”+