Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akamwambia: “Ni nani aliyekuweka wewe rasmi kuwa mkuu na mwamuzi juu yetu?+ Je, unakusudia kuniua kama vile ulivyomuua yule Mmisri?”+ Sasa Musa akaogopa na kusema: “Hakika jambo hilo limejulikana!”+

  • Luka 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 nao wakasema, wakimwambia: “Tuambie unafanya mambo haya kwa mamlaka gani, au ni nani aliyekupa mamlaka hiyo.”+

  • Yohana 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo, Wayahudi wakajibu, wakamwambia: “Una ishara+ gani ya kutuonyesha, kwa kuwa unafanya mambo haya?”

  • Matendo 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 nao wakawasimamisha katikati yao na kuanza kuuliza: “Mlifanya jambo hilo kwa nguvu gani au katika jina la nani?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki