Mathayo 21:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ule ubatizo wa Yohana, ulitoka wapi? Mbinguni au kwa wanadamu?”+ Lakini wakaanza kujadiliana kati yao wenyewe, wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuambia, ‘Basi, kwa nini hamkumwamini?’+ Marko 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa hiyo wakaanza kujadiliana kati yao wenyewe, wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atasema, ‘Basi, kwa nini hamkumwamini?’+
25 Ule ubatizo wa Yohana, ulitoka wapi? Mbinguni au kwa wanadamu?”+ Lakini wakaanza kujadiliana kati yao wenyewe, wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuambia, ‘Basi, kwa nini hamkumwamini?’+
31 Kwa hiyo wakaanza kujadiliana kati yao wenyewe, wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atasema, ‘Basi, kwa nini hamkumwamini?’+