Mathayo 21:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa hiyo wakamjibu Yesu, wakasema: “Hatujui.” Yeye naye akawaambia: “Wala mimi siwaambii ninyi ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.+ Marko 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Basi, wakamjibu Yesu wakasema: “Hatujui.” Naye Yesu akawaambia: “Wala mimi siwaambii ninyi ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.”+
27 Kwa hiyo wakamjibu Yesu, wakasema: “Hatujui.” Yeye naye akawaambia: “Wala mimi siwaambii ninyi ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.+
33 Basi, wakamjibu Yesu wakasema: “Hatujui.” Naye Yesu akawaambia: “Wala mimi siwaambii ninyi ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.”+