-
Marko 11:33Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
33 Basi wakamjibu Yesu: “Hatujui.” Naye Yesu akawaambia: “Nami siwaambii ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.”
-
-
Marko 11:33Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
33 Basi, kwa kumjibu Yesu wakasema: “Hatujui.” Naye Yesu akawaambia: “Wala mimi siwaambii nyinyi ni kwa mamlaka gani nafanya mambo haya.”
-