28 Mungu akawabariki+ na Mungu akawaambia: “Zaeni,+ muwe wengi, mjaze dunia na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kila kiumbe hai kinachotambaa juu ya dunia.”
27 walikuwa wakila, walikuwa wakinywa, wanaume walikuwa wakioa, wanawake walikuwa wakiolewa, mpaka siku ile ambayo Noa aliingia katika safina, na gharika ikafika na kuwaangamiza wote.+