Isaya 19:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nayo itakuwa ni ishara na ushahidi kwa Yehova wa majeshi katika nchi ya Misri;+ kwa maana watamlilia Yehova kwa sababu ya wakandamizaji,+ naye atawapelekea mwokozi, aliye mkuu, ambaye kwa kweli atawakomboa.+
20 Nayo itakuwa ni ishara na ushahidi kwa Yehova wa majeshi katika nchi ya Misri;+ kwa maana watamlilia Yehova kwa sababu ya wakandamizaji,+ naye atawapelekea mwokozi, aliye mkuu, ambaye kwa kweli atawakomboa.+