Mathayo 26:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nao wanafunzi wakafanya kama Yesu alivyowaagiza, nao wakatayarisha vitu kwa ajili ya pasaka.+ Marko 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo wanafunzi wakaenda, nao wakaingia katika jiji na kukipata kama vile alivyowaambia; nao wakafanya matayarisho ya pasaka.+ Luka 19:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa hiyo wale waliotumwa wakaondoka wakakuta sawa na vile alivyowaambia.+
16 Kwa hiyo wanafunzi wakaenda, nao wakaingia katika jiji na kukipata kama vile alivyowaambia; nao wakafanya matayarisho ya pasaka.+