Ufunuo 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye ananiambia: “Andika: Wenye furaha ni wale walioalikwa+ kwenye mlo wa jioni wa ndoa ya Mwana-Kondoo.”+ Pia, ananiambia: “Hayo ndiyo maneno ya kweli ya Mungu.”+
9 Naye ananiambia: “Andika: Wenye furaha ni wale walioalikwa+ kwenye mlo wa jioni wa ndoa ya Mwana-Kondoo.”+ Pia, ananiambia: “Hayo ndiyo maneno ya kweli ya Mungu.”+