Mathayo 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Hivyo sivyo ilivyo katikati yenu;+ bali yeyote anayetaka kuwa mkubwa katikati yenu lazima awe mhudumu wenu,+ Marko 10:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Hivyo sivyo ilivyo katikati yenu; bali yeyote yule anayetaka kuwa mkubwa katikati yenu lazima awe mhudumu wenu,+ Luka 9:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 na kuwaambia: “Yeyote yule anayempokea mtoto huyu mchanga kwa msingi wa jina langu ananipokea mimi pia, na yeyote anayenipokea, anampokea pia yule aliyenituma.+ Kwa maana anayejiendesha kama aliye mdogo+ zaidi kati yenu nyote ndiye aliye mkuu.”+
26 Hivyo sivyo ilivyo katikati yenu;+ bali yeyote anayetaka kuwa mkubwa katikati yenu lazima awe mhudumu wenu,+
43 Hivyo sivyo ilivyo katikati yenu; bali yeyote yule anayetaka kuwa mkubwa katikati yenu lazima awe mhudumu wenu,+
48 na kuwaambia: “Yeyote yule anayempokea mtoto huyu mchanga kwa msingi wa jina langu ananipokea mimi pia, na yeyote anayenipokea, anampokea pia yule aliyenituma.+ Kwa maana anayejiendesha kama aliye mdogo+ zaidi kati yenu nyote ndiye aliye mkuu.”+