Mathayo 26:74 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 74 Ndipo akaanza kulaani na kuapa: “Simjui mtu huyo!” Na mara jogoo akawika.+ Marko 14:71 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 71 Lakini yeye akaanza kulaani na kuapa:+ “Simjui mtu huyu ambaye mnasema juu yake.”+ Yohana 18:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Hata hivyo, Petro akakana tena; na mara jogoo akawika.+