Methali 29:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kutetemeshwa na wanadamu ndiko huleta mtego,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atalindwa.+ Mathayo 5:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Acheni tu neno lenu Ndiyo limaanishe Ndiyo, Siyo yenu, Siyo;+ kwa maana linalozidi hayo linatoka kwa yule mwovu.+
37 Acheni tu neno lenu Ndiyo limaanishe Ndiyo, Siyo yenu, Siyo;+ kwa maana linalozidi hayo linatoka kwa yule mwovu.+