63 Lakini Yesu akaendelea kukaa kimya.+ Kwa hiyo kuhani mkuu akamwambia: “Kwa Mungu aliye hai ninakuweka chini ya kiapo+ utuambie kama wewe ndiye Kristo+ Mwana wa Mungu!”
61 Lakini akaendelea kukaa kimya na hakutoa jibu hata kidogo.+ Tena kuhani mkuu akaanza kumuuliza na kumwambia: “Wewe ndiye Kristo Mwana wa yule Mbarikiwa?”+
24 Kwa hiyo Wayahudi wakamzunguka na kuanza kumwambia: “Utaendelea kuzihangaisha nafsi zetu mpaka wakati gani? Ikiwa wewe ndiye Kristo,+ tuambie waziwazi.”+