Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Lakini Yesu akaendelea kukaa kimya.+ Kwa hiyo kuhani mkuu akamwambia: “Kwa Mungu aliye hai ninakuweka chini ya kiapo+ utuambie kama wewe ndiye Kristo+ Mwana wa Mungu!”

  • Marko 14:61
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 61 Lakini akaendelea kukaa kimya na hakutoa jibu hata kidogo.+ Tena kuhani mkuu akaanza kumuuliza na kumwambia: “Wewe ndiye Kristo Mwana wa yule Mbarikiwa?”+

  • Yohana 10:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa hiyo Wayahudi wakamzunguka na kuanza kumwambia: “Utaendelea kuzihangaisha nafsi zetu mpaka wakati gani? Ikiwa wewe ndiye Kristo,+ tuambie waziwazi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki