Yohana 18:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Pilato akamwambia: “Kweli ni nini?” Na baada ya kusema hili, akatoka tena kwenda kwa Wayahudi na kuwaambia: “Mimi sioni kosa lolote ndani yake.+
38 Pilato akamwambia: “Kweli ni nini?” Na baada ya kusema hili, akatoka tena kwenda kwa Wayahudi na kuwaambia: “Mimi sioni kosa lolote ndani yake.+