Amosi 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “ ‘Na itakuwa katika siku hiyo,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwamba nitalifanya jua lishuke katikati ya mchana,+ nami nitailetea nchi giza siku ya mwangaza. Mathayo 27:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Tangu saa sita na kuendelea kukawa na giza+ juu ya nchi yote, mpaka saa tisa.+ Marko 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ilipofika saa sita kukawa na giza juu ya nchi yote mpaka saa tisa.+
9 “ ‘Na itakuwa katika siku hiyo,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwamba nitalifanya jua lishuke katikati ya mchana,+ nami nitailetea nchi giza siku ya mwangaza.