Yohana 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Baada ya kusema hayo, akageuka na kumwona Yesu akiwa amesimama, lakini hakufahamu ni Yesu.+ Yohana 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, ilipokuwa tu inakaribia kuwa asubuhi, Yesu akasimama pwani, lakini wanafunzi, bila shaka, hawakufahamu kwamba ni Yesu.+
4 Hata hivyo, ilipokuwa tu inakaribia kuwa asubuhi, Yesu akasimama pwani, lakini wanafunzi, bila shaka, hawakufahamu kwamba ni Yesu.+