Luka 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 lakini macho yao yalizuiwa wasiweze kumtambua.+ Yohana 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Baada ya kusema hayo, akageuka na kumwona Yesu akiwa amesimama, lakini hakufahamu ni Yesu.+