Mathayo 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo, wakaondoka upesi kaburini, wakiwa na woga na shangwe kubwa, wakakimbia kuwajulisha wanafunzi wake.+ Luka 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Walikuwa Magdalene Maria, na Yoana,+ na Maria mama ya Yakobo. Pia, wengine kati ya wanawake+ waliokuwa pamoja nao walikuwa wakiwaeleza mitume mambo hayo.
8 Kwa hiyo, wakaondoka upesi kaburini, wakiwa na woga na shangwe kubwa, wakakimbia kuwajulisha wanafunzi wake.+
10 Walikuwa Magdalene Maria, na Yoana,+ na Maria mama ya Yakobo. Pia, wengine kati ya wanawake+ waliokuwa pamoja nao walikuwa wakiwaeleza mitume mambo hayo.