Luka 9:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Lakini wao wakashindwa kuelewa maneno hayo. Kwa kweli, yalifichwa ili wasipate kuyafahamu, nao waliogopa kumuuliza juu ya maneno hayo.+ Luka 18:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hata hivyo, wao hawakupata maana ya lolote kati ya mambo hayo; lakini walikuwa wamefichwa maneno hayo, nao hawakujua mambo yaliyosemwa.+
45 Lakini wao wakashindwa kuelewa maneno hayo. Kwa kweli, yalifichwa ili wasipate kuyafahamu, nao waliogopa kumuuliza juu ya maneno hayo.+
34 Hata hivyo, wao hawakupata maana ya lolote kati ya mambo hayo; lakini walikuwa wamefichwa maneno hayo, nao hawakujua mambo yaliyosemwa.+