Mwanzo 5:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Naye akamwita jina lake Noa,+ akisema: “Huyu atatuletea faraja katika kazi yetu na katika maumivu ya mikono yetu yanayoletwa na udongo ambao Yehova amelaani.”+ Mwanzo 5:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Naye Noa akafikia umri wa miaka 500. Baada ya hapo Noa akazaa Shemu,+ Hamu+ na Yafethi.+
29 Naye akamwita jina lake Noa,+ akisema: “Huyu atatuletea faraja katika kazi yetu na katika maumivu ya mikono yetu yanayoletwa na udongo ambao Yehova amelaani.”+