57 Kwa hiyo wakaanza kukwazika kwa sababu yake.+ Lakini Yesu akawaambia: “Nabii hakosi kuheshimiwa ila katika eneo lake la nyumbani na katika nyumba yake mwenyewe.”+
4 Lakini Yesu akaendelea kuwaambia: “Nabii hakosi kuheshimiwa ila katika eneo lake la nyumbani+ na katikati ya watu wa jamaa yake na katika nyumba yake mwenyewe.”+