Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mara moja wakaziacha nyavu,+ wakamfuata.

  • Mathayo 6:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake,+ nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+

  • Mathayo 19:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ndipo Petro akamjibu na kumwambia: “Tazama! Tumeacha vitu vyote na kukufuata wewe; kwa kweli kutakuwa na nini kwa ajili yetu?”+

  • Marko 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 na bila kukawia akawaita. Nao wakamwacha baba yao Zebedayo katika mashua hiyo pamoja na watu walioajiriwa, wakamfuata.

  • Luka 18:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Lakini Petro akasema: “Tazama! Tumeacha vitu vyetu wenyewe na kukufuata wewe.”+

  • Wafilipi 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo, kwa kweli naviona vitu vyote kuwa hasara kwa sababu ya thamani bora zaidi ya kumjua Kristo Yesu Bwana wangu.+ Kwa sababu yake nimekubali hasara ya vitu vyote nami naviona kuwa takataka nyingi,+ ili niweze kumpata Kristo

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki