Mathayo 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye Yesu, akijua fikira zao,+ akasema: “Kwa nini mnafikiri mambo maovu mioyoni mwenu?+ Marko 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Yesu, baada ya kutambua mara moja rohoni mwake kwamba walikuwa wakiwaza hivyo ndani yao wenyewe, akawaambia: “Kwa nini mnawaza mambo haya mioyoni mwenu?+
8 Lakini Yesu, baada ya kutambua mara moja rohoni mwake kwamba walikuwa wakiwaza hivyo ndani yao wenyewe, akawaambia: “Kwa nini mnawaza mambo haya mioyoni mwenu?+