12 Ndipo akaondoka, akachukua mara moja kitanda chake, akatembea mbele yao wote na kwenda nje,+ hivi kwamba wote wakastaajabu, nao wakamtukuza Mungu, wakisema: “Hatujaona kamwe jambo kama hilo.”+
21 Kwa hiyo, walipokuwa wamewatisha zaidi, wakawafungua, kwa kuwa hawakupata msingi wowote wa kuwaadhibu na kwa sababu ya watu,+ kwa sababu wote walikuwa wakimtukuza Mungu juu ya jambo lililokuwa limetukia;