16 Hakuna mtu anayeshona kiraka cha nguo mpya juu ya vazi la nje la zamani; kwa maana nguvu zake zingelivuta lile vazi la nje nalo lingeraruka vibaya zaidi.+
21 Hakuna mtu anayeshona kiraka cha nguo mpya juu ya vazi la nje la zamani; akifanya hivyo, nguvu zake huvuta ile nguo mpya kutoka kwenye lile vazi la zamani, nalo huraruka vibaya zaidi.+