Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Walipoona jambo hilo Mafarisayo wakamwambia:+ “Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo ambalo si halali kufanywa katika siku ya sabato.”+

  • Marko 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa hiyo Mafarisayo wakaanza kumwambia: “Tazama sasa! Kwa nini wanafanya jambo lisilo halali katika siku ya sabato?”+

  • Yohana 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa hiyo Wayahudi wakaanza kumwambia mtu huyo aliyeponywa: “Ni Sabato, na si halali+ ukichukue kitanda.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki