Mathayo 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Walipoona jambo hilo Mafarisayo wakamwambia:+ “Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo ambalo si halali kufanywa katika siku ya sabato.”+ Marko 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa hiyo Mafarisayo wakaanza kumwambia: “Tazama sasa! Kwa nini wanafanya jambo lisilo halali katika siku ya sabato?”+ Yohana 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo Wayahudi wakaanza kumwambia mtu huyo aliyeponywa: “Ni Sabato, na si halali+ ukichukue kitanda.”
2 Walipoona jambo hilo Mafarisayo wakamwambia:+ “Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo ambalo si halali kufanywa katika siku ya sabato.”+
24 Kwa hiyo Mafarisayo wakaanza kumwambia: “Tazama sasa! Kwa nini wanafanya jambo lisilo halali katika siku ya sabato?”+
10 Kwa hiyo Wayahudi wakaanza kumwambia mtu huyo aliyeponywa: “Ni Sabato, na si halali+ ukichukue kitanda.”