Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye kazi yoyote, wewe wala mwana wako wala binti yako, mtumwa wako wala kijakazi wako wala mnyama wako wa kufugwa wala mgeni wako aliye ndani ya malango yako.+

  • Nehemia 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na ikawa kwamba, mara malango ya Yerusalemu yalipoingia giza kabla ya sabato, nikaamuru mara moja na malango yakaanza kufungwa.+ Tena nikasema kwamba wasiyafungue mpaka baada ya sabato; nami nikaweka malangoni baadhi ya watumishi wangu ili mzigo wowote usiingie ndani siku ya sabato.+

  • Yeremia 17:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yehova amesema hivi: “Angalieni nafsi zenu,+ nanyi msibebe mzigo wowote katika siku ya sabato ili kuuingiza kupitia malango ya Yerusalemu.+

  • Mathayo 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Walipoona jambo hilo Mafarisayo wakamwambia:+ “Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo ambalo si halali kufanywa katika siku ya sabato.”+

  • Luka 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo baadhi ya Mafarisayo wakasema: “Kwa nini mnafanya jambo lisilo halali+ katika siku ya sabato?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki