Mathayo 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini wewe unaposali, ingia ndani ya chumba chako cha faragha+ na, baada ya kufunga mlango wako, sali kwa Baba yako aliye mahali pa siri;+ ndipo Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa. Marko 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akapanda mlima na kuwaita wale aliotaka,+ nao wakamwendea.+
6 Lakini wewe unaposali, ingia ndani ya chumba chako cha faragha+ na, baada ya kufunga mlango wako, sali kwa Baba yako aliye mahali pa siri;+ ndipo Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa.