Mathayo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini kuzaliwa kwa Yesu Kristo kulikuwa katika njia hii. Katika wakati ambapo Maria mama yake alikuwa amechumbiwa+ na Yosefu, alionekana kuwa ana mimba kwa njia ya roho takatifu+ kabla ya wao kuungana pamoja.
18 Lakini kuzaliwa kwa Yesu Kristo kulikuwa katika njia hii. Katika wakati ambapo Maria mama yake alikuwa amechumbiwa+ na Yosefu, alionekana kuwa ana mimba kwa njia ya roho takatifu+ kabla ya wao kuungana pamoja.