1 Wafalme 17:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi Eliya akamchukua mtoto huyo, akamshusha kutoka katika kile chumba cha darini, akamleta katika nyumba na kumpa mama yake; na kisha Eliya akasema: “Tazama, mwana wako yuko hai.”+ 2 Wafalme 4:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Sasa akamwita Gehazi na kusema: “Mwite huyo mwanamke Mshunamu.”+ Basi akamwita, naye akaingia kwake. Kisha akasema: “Mchukue mwana wako.”+
23 Basi Eliya akamchukua mtoto huyo, akamshusha kutoka katika kile chumba cha darini, akamleta katika nyumba na kumpa mama yake; na kisha Eliya akasema: “Tazama, mwana wako yuko hai.”+
36 Sasa akamwita Gehazi na kusema: “Mwite huyo mwanamke Mshunamu.”+ Basi akamwita, naye akaingia kwake. Kisha akasema: “Mchukue mwana wako.”+