Mathayo 12:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Alipokuwa bado akisema na umati, tazama! mama yake na ndugu zake+ wakaja na kusimama nje wakitaka kusema naye. Marko 3:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sasa mama yake na ndugu zake+ wakaja, na, walipokuwa wamesimama nje, wakatuma aitwe.+
46 Alipokuwa bado akisema na umati, tazama! mama yake na ndugu zake+ wakaja na kusimama nje wakitaka kusema naye.