Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Je, huyu si mwana wa yule seremala?+ Je, mama yake haitwi Maria, na ndugu zake Yakobo na Yosefu na Simoni na Yuda?

  • Marko 3:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Sasa mama yake na ndugu zake+ wakaja, na, walipokuwa wamesimama nje, wakatuma aitwe.+

  • Yohana 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Baada ya hayo, yeye na mama yake na ndugu zake+ na wanafunzi wake wakashuka kwenda Kapernaumu,+ lakini hawakukaa huko siku nyingi.

  • Matendo 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa umoja wote hawa walikuwa wakidumu katika sala,+ pamoja na wanawake+ fulani na Maria mama ya Yesu na pamoja na ndugu zake.+

  • 1 Wakorintho 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Sisi tuna mamlaka ya kumchukua pamoja nasi dada akiwa mke,+ hata kama vile mitume wale wengine na ndugu za Bwana+ na Kefa,+ sivyo?

  • Wagalatia 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini sikuona mwingine yeyote wa wale mitume, isipokuwa Yakobo+ ndugu+ ya Bwana.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki