Mathayo 12:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Alipokuwa bado akisema na umati, tazama! mama yake na ndugu zake+ wakaja na kusimama nje wakitaka kusema naye. Mathayo 13:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Je, huyu si mwana wa yule seremala?+ Je, mama yake haitwi Maria, na ndugu zake Yakobo na Yosefu na Simoni na Yuda? Marko 3:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sasa mama yake na ndugu zake+ wakaja, na, walipokuwa wamesimama nje, wakatuma aitwe.+ Luka 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sasa mama yake na ndugu zake+ wakamjia, lakini hawakuweza kumfikia kwa sababu ya umati.+ Matendo 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa umoja wote hawa walikuwa wakidumu katika sala,+ pamoja na wanawake+ fulani na Maria mama ya Yesu na pamoja na ndugu zake.+ 1 Wakorintho 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sisi tuna mamlaka ya kumchukua pamoja nasi dada akiwa mke,+ hata kama vile mitume wale wengine na ndugu za Bwana+ na Kefa,+ sivyo? Wagalatia 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini sikuona mwingine yeyote wa wale mitume, isipokuwa Yakobo+ ndugu+ ya Bwana.
46 Alipokuwa bado akisema na umati, tazama! mama yake na ndugu zake+ wakaja na kusimama nje wakitaka kusema naye.
55 Je, huyu si mwana wa yule seremala?+ Je, mama yake haitwi Maria, na ndugu zake Yakobo na Yosefu na Simoni na Yuda?
14 Kwa umoja wote hawa walikuwa wakidumu katika sala,+ pamoja na wanawake+ fulani na Maria mama ya Yesu na pamoja na ndugu zake.+
5 Sisi tuna mamlaka ya kumchukua pamoja nasi dada akiwa mke,+ hata kama vile mitume wale wengine na ndugu za Bwana+ na Kefa,+ sivyo?