Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Je, huyu si mwana wa yule seremala?+ Je, mama yake haitwi Maria, na ndugu zake Yakobo na Yosefu na Simoni na Yuda?

  • Yohana 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa kweli, ndugu+ zake walikuwa hawamwamini.+

  • Matendo 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa umoja wote hawa walikuwa wakidumu katika sala,+ pamoja na wanawake+ fulani na Maria mama ya Yesu na pamoja na ndugu zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki