Mathayo 13:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Je, huyu si mwana wa yule seremala?+ Je, mama yake haitwi Maria, na ndugu zake Yakobo na Yosefu na Simoni na Yuda? Yohana 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli, ndugu+ zake walikuwa hawamwamini.+ Wagalatia 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini sikuona mwingine yeyote wa wale mitume, isipokuwa Yakobo+ ndugu+ ya Bwana.
55 Je, huyu si mwana wa yule seremala?+ Je, mama yake haitwi Maria, na ndugu zake Yakobo na Yosefu na Simoni na Yuda?