Zaburi 65:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Anatuliza kelele za bahari,+Kelele za mawimbi yake na ghasia za vikundi vya mataifa.+ Mathayo 8:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini akawaambia: “Kwa nini mna moyo wa woga, ninyi wenye imani kidogo?”+ Ndipo, akasimama, akakemea zile pepo na hiyo bahari, kukawa utulivu mkubwa.+ Marko 4:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Ndipo akaamka, akaukemea upepo na kuiambia bahari: “Nyamaza, utulie!”+ Na upepo ukapunguka, kukawa utulivu mkubwa.+
26 Lakini akawaambia: “Kwa nini mna moyo wa woga, ninyi wenye imani kidogo?”+ Ndipo, akasimama, akakemea zile pepo na hiyo bahari, kukawa utulivu mkubwa.+
39 Ndipo akaamka, akaukemea upepo na kuiambia bahari: “Nyamaza, utulie!”+ Na upepo ukapunguka, kukawa utulivu mkubwa.+