Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa nini mataifa yamekuwa na fujo+

      Na vikundi vya mataifa vimeendelea kusema jambo la upuuzi?+

  • Isaya 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lo, fujo za vikundi vingi vya watu, ambao wana mchafuko kama mchafuko wa bahari! Nazo kelele za vikundi vya taifa, wanaofanya kishindo kama kelele za maji yenye nguvu!+

  • Isaya 57:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Lakini waovu ni kama bahari inayorushwa-rushwa, wakati ambapo haiwezi kutulia, ambayo maji yake yanaendelea kurusha juu magugu-maji na matope.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki