Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 29:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Sauti ya Yehova iko juu ya maji;+

      Mungu mtukufu+ mwenyewe amenguruma.+

      Yehova yuko juu ya maji mengi.+

  • Zaburi 65:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Anatuliza kelele za bahari,+

      Kelele za mawimbi yake na ghasia za vikundi vya mataifa.+

  • Ufunuo 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na yule wa pili+ akamwaga bakuli lake ndani ya bahari.+ Nayo ikawa damu+ kama ya mwanadamu aliyekufa, na kila nafsi iliyo hai ikafa, ndiyo, vitu vilivyo ndani ya bahari.+

  • Ufunuo 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba+ akaja, akasema nami, akaniambia: “Njoo, nitakuonyesha hukumu juu ya yule kahaba+ mkubwa anayekaa juu ya maji mengi,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki