3 Na yule wa pili+ akamwaga bakuli lake ndani ya bahari.+ Nayo ikawa damu+ kama ya mwanadamu aliyekufa, na kila nafsi iliyo hai ikafa, ndiyo, vitu vilivyo ndani ya bahari.+
17Na mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba+ akaja, akasema nami, akaniambia: “Njoo, nitakuonyesha hukumu juu ya yule kahaba+ mkubwa anayekaa juu ya maji mengi,+